About us

Sunday, October 6, 2013

Mtuhumiwa wa UGAIDI wa balozi za marekani Kenya na Tanzania 1998 akamatwa Libya

Mtuhumiwa wa ugaidi aliyehusika na shambulizi la kulipua balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998, Abu Anas al Liby ameripotiwa kukamatwa nchini Libya, ikiwa ni siku chache tokea shambulizi la ugaidi nchini Kenya kwenye maduka ya Westgate.

Taarifa zaidi soma => http://bit.ly/1aZLSel

0 comments:

Post a Comment