About us

Saturday, October 12, 2013

Baada ya ‘nani kamwaga pombe yangu’ Madee ametoa hii mpya ya ‘tema mate tuwachape’


Madee na Richard tema mate tumchape 1Kila msanii anapotoa single kali kila mmoja anatamani kusikia itakayofata itakuaje? hii inatokea hata kwa Madee ambae ‘Pombe yangu’ ilimpa nguvu ya kutosha kumiliki chati za radio na TV na hata kumpa show za zaidi ya milioni 100.
Time hii naitumia kukualika kusikiliza single yake mpya ya ‘tema mate tuwachape’ ft Richard

0 comments:

Post a Comment