kumbe kuna watu wanalilia ndoa,wengine wanafanya madudu

Amini usiamini Nigeria ina upungufu wa wanaume wa kuoa!! Kiasi kwamba wanawake wanaotamani kupata wenza na kutengeneza familia wameamua kuchukua hatua. Zaidi ya wanawake elfu 8 walio single wiki iliyopita waliandamana kutokana na upungufu wa wanaume wa kuwaoa.

Lengo la maandamano yao ni